1893
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | ►
◄◄ | ◄ | 1889 | 1890 | 1891 | 1892 | 1893 | 1894 | 1895 | 1896 | 1897 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1893 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 12 Februari - Fred Albert Shannon, mwanahistoria kutoka Marekani
- 20 Februari - Russel Crouse, mwandishi kutoka Marekani
- 29 Aprili - Harold Urey (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1934)
- 24 Juni - Jan Matejko, mchoraji kutoka Polandi
- 16 Septemba - Albert Szent-Györgyi (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1937)
- 10 Novemba - John P. Marquand, mwandishi kutoka Marekani
- 13 Novemba - Edward Doisy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1943)
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 17 Januari - Rutherford B. Hayes, Rais wa Marekani (1877-1881)
- 6 Novemba - Pyotr Ilyich Tchaikovsky, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
bila tarehe
- Frances Colenso, mke wa Askofu John William Colenso na mwandishi wa barua nyingi
